Mwenyekiti wa Bodi ya Mamalaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Dkt. Anthony Diallo akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka katika maonesho ya Sabasaba yanayoendelea Jijini Dar Es Salaam tarehe 11 Julai, 2024.
Mwenyekiti wa Bodi ya TFRA, Dkt. Anthony Diallo (katikati) akiwa katika picha na watumishi wa Mamlaka wanaotoa elimu ya mbolea kwa watembeaji wa maonesho ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwl. J. K. Nyerere jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa huduma za Mamlaka Victoria Elangwa
Mwenyekiti wa Bodi ya TFRA, Dkt. Anthony Diallo (kushoto) akimsikiliza mwoneshaji wa Mamlaka kwenye maonesho ya Biashara ya Kimataifa John Sostheness alipotembelea banda hilo tarehe 11 Julai, 2024
Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Dkt. Anthony Diallo akiwasili katika viwanja vya maonesho ya Biashara ya Kimataifa - sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwl. Julius K. Nyerere Jijini Dar Es Salaam tarehe 11 Julai, 2024.
Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Dkt. Anthony Diallo akiwa katika viwanja vya maonesho ya Biashara ya Kimataifa - sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwl. Julius K. Nyerere Jijini Dar Es Salaam tarehe 11 Julai, 2024.