Baadhi ya watumishi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) wakiongozwa Mkurugenzi wa Huduma za Udhibiti, Happiness Mbele (wa pili kutoka kulia) wakifuatilia mada wakati wa kikao cha Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ((hayupo pichani) na wahariri , waandishi wa habari, watumishi wa wizara na taasisi zilizo chini ya wizara na wadau wote wa kilimo kilichofanyika katika ukumbi wa Mabele Jijini Dodoma leo tarehe 10 Januari, 2022.