Naibu Waziri wa Kilimo, Anthony Mavunde na wabunge wa Mikoa ya Nyanda za Juu kusini wakimsikiliza Dkt. Ndabwemeye Mlengera mtafiti kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) akifafanua jambo kwa wabunge hao waliofanya ziara katika kiwanda cha mbolea cha Itracom Fertilizer Limited tarehe 26 June, 2022