Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa Vijana wa Afrika unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), tarehe 7 Septemba 2023 jijini Dar es Salaam.