Mkurugenzi Mtendaji wa TFRA, Joel Laurent, akikabidhi mbolea kwa Mkuu wa Wilaya ya Makete kwa ajili ya Vijana wakulima wa Wilaya ya Makete, tarehe 16 Desemba, 2025,
Mkurugenzi Mtendaji wa TFRA, Joel Laurent, Mkuu wa Wilaya ya Makete, Mhe. Kissa A. Kasongwa, na Mkurugenzi Mkuu wa TFC, Samuel Mshote, wakiwa katika picha ya pamoja na vijana waliogawiwa mbolea kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi kupitia kilimo, katika hafla iliyofanyika Wilaya ya Makete, mkoani Njombe, tarehe 16 Desemba 2025.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Joel Laurent, akizungumza katika hafla ya ugawaji wa mbolea kwa vijana wakulima wa Wilaya ya Makete, Mkoa wa Njombe, tarehe 16 Desemba, 2025.
Mkuu wa Wilaya ya Makete, Mhe. Kissa A. Kasongwa, akizungumza katika hafla ya ugawaji wa mbolea kwa wakulima wa Wilaya ya Makete, Mkoa wa Njombe, tarehe 16 Desemba, 2025.