RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,akiwa na Rais wa Jamhuri ya Burundi Meja Jenerali Mstaafu Evariste Ndayishimiye,wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa Kiwanda cha Mbolea cha ITRACOM kilichopo Nala, Jijini Dodoma.
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimwagilia mti alioupqnda wakati wa hafla ya uzinduzi wa Kiwanda cha Mbolea cha ITRACOM kilichopo Nala, Jijini Dodoma.