Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Joel Laurent, akizungumza na wakulima wa kijiji cha Kanga kilichopo katika Wilaya ya Songwe mkoani Songwe wakati wa zoezi la uhakiki wa hati miliki za kimila za mashamba ya wakulima wa Kijiji hicho leo tarehe Mosi Aprili, 2025.
Mkurugenzi Mtendaji wa TFRA Bw. Joel Laurent (kulia) akiita majina ya wanakijiji kwa ajili ya kusogea mezani ili kuhakiki taarifa zao kwenye hati miliki za kimila za mashamba wanayomiliki katika kijiji cha Kanga, Halmashauri ya Wilaya ya Songwe mkoani Songwe tarehe Mosi Aprili, 2025
Mkurugenzi Msaidizi wa Uzingatiaji wa Matumizi ya Ardhi kutoka NLUPC Rehema Kishoa,(aliyesimamq meza kuu) akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kanga wakati wa zoezi la uhakiki wa Hati za mashamba unaofanyika kijijini hapo kuanzia tarehe Mosi Aprili, 2025 mpaka pale litakapokamilika kwa wakulima kupewa hati zao
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Joel Laurent, akizungumza na wakulima wa kijiji cha Kanga kilichopo katika Wilaya ya Songwe mkoani Songwe wakati wa zoezi la uhakiki wa hati miliki za kimila za mashamba ya wakulima wa Kijiji hicho leo tarehe Mosi Aprili, 2025.
Wakulima wa kijiji cha Kanga wakiendelea kuweka saini kwenye hati zao ikiwa ni hatua ya sita ya zoezi la kumilikishwa ardhi kisheria baada ya kuhakiki taarifa zao kabla ya kuzichukua rasmi.
Wakulima wakisikiliza maelekezo ya serikali kabda ya kuanza rasmi kwa zoezi la kuhakiki taarifa zao kabla ya kumilikishwa hati miliki za kimila za mashamba wanayoyamiliki katika kijiji cha Kanga Wilayani Songwe mkoani Songwe