Kufanya uchambuzi wa sampuli za mbolea, visaidizi vya mbolea na udongo
Usajili na Leseni ya Mbolea
Vigezo Vya Kusajiliwa Kuwa Mfanyabiashara wa Mbolea
1. Jaza form fr9
2. Nakala ya Leseni ya Bishara
3. Nakala ya TIN ( Utambulisho wa Mlipa Kodi)
4. Nakala ya Usajili wa Kampuni (Makampuni peke yake)