Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Kilimo

Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA)

TFRA Logo
Utoaji wa Leseni za mbolea na visaidizi vya mbolea
Utoaji wa Leseni za mbolea na visaidizi vya mbolea

Kibali cha Kuingiza Mbolea

Kibali kinatolewa kwa mfanyabiashara anayetaka kuingiza Mbolea.

Hatua za kufuata:-

  1. Jaza fr 16 form kwa ajiri ya kibali cha kuingiza mbolea
  2. Ambatisha; Nakala ya risiti ya manunuzi, Nakala ya usafirishaji wa mzigo, Nakala ya cheti cha uchambuzi.
  3. Wasilisha fomu kwa ajiri ya tathmini
  4. Lipia gharama za uingizaji
  5. Chukua kibal

Mbolea Day