Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Bw. Joel Laurent akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio na mwelekeo wa mamlaka hiyo katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita leo Machi 19, 2025, katika Ofisi za Idara ya Habari - MAELEZO, jijini Dodoma.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Bw. Joel Laurent akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio na mwelekeo wa mamlaka hiyo katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita leo Machi 19, 2025, katika Ofisi za Idara ya Habari - MAELEZO, jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Idara ya Uzalishaji wa Ndani na Manunuzi ya Mbolea kwa Pamoja wa TFRA Louis Kasera (kulia) na Meneja wa Kitengo cha TEHAMA, Robert Mtendamema wakifuatilia wasilisho la Mkurugenzi Mtendaji wa TFRA Joel Laurent la utekelezaji wa Majukumu kwa kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan
Waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari wa Jijini Dodoma wakifuatilia taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) katika kipindi cha miaka minne ya Rais Samia Suluhu Hassan katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo Jijini Dodoma leo tarehe 19 Machi, 2025