Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Mhe. Shaib Ndemanga akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka alipokuwa akifungua kikao kilichofanyika tarehe 5 Machi, 2026 katika hoteli ya Solomon Beach iliyopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka, Joel Laurent akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka alipokuwa akimkaribisha mgeni rasmi kuzungumza na watumishi hao wakati wa kikao kilichofanyika katika hoteli ya Solomon Beach iliyopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani tarehe 5 Machi, 2026
Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Mhe. Shaib Ndemanga (katikati) akiwa katika picha na menejimenti ya Mamlaka mara baada ya kufungua kikao cha baraza cha Mamlaka kilichofanyika tarehe 5 Machi, 2026 katika hoteli ya Solomon Beach iliyopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani
Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Mhe. Shaib Ndemanga (Kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la TFRA (Aziz Mtambo) mara baada ya kuwasili katika hoteli ya Solomon Beach iliyopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kwa ajili ya kufungua kikao hicho kilichofanyika tarehe 5 Machi, 2026
Wajumbe wa Baraza wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Mhe. Shaib Ndemanga alipokuwa akifungua kikao ca baraza hilo tarehe 5 Aprili, 2026 katika hoteli ya Solomon Beach iliyopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani