Watumishi wanawake kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) wakikabidhi msaada wa mahitaji mbalimbali kwa watoto wenye mahitaji maalum katika Shule ya Msingi Sandali, Wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya shughuli za kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.tarehe 05 Machi, 2026.
Watumishi wanawake kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) wakifurahi na watoto wenye mahitaji maalum wa Shule ya Msingi Sandali, Wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam jana tarehe 05 Machi, 2026 ikiwa ni sehemu ya shughuli zinazotekelezwa kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.
Diwani wa Kata ya Sandali, Mhe. Mrisho Kamba (mwenye suti), akizungumza Machi 5, 2026 wakati wa ziara ya watumishi wanawake wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) katika Shule ya Msingi Sandali, Temeke, walipofika kutoa msaada kwa watoto wenye mahitaji maalum kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.
Watumishi wanawake wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) wakijumuika na watoto wenye mahitaji maalum katika Shule ya Msingi Sandali, Kata ya Sandali wilayani Temeke tarehe 5 Machi,2026 wakati wa ziara ya kutoa msaada ikiwa ni sehemu ya shughuli za kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.
Watumishi wanawake wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) wakijumuika na watoto wenye mahitaji maalum katika Shule ya Msingi Sandali, Kata ya Sandali wilayani Temeke tarehe 5 Machi,2026 wakati wa ziara ya kutoa msaada ikiwa ni sehemu ya shughuli za kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.
Watoto wenye mahitaji maalum katika Shule ya Msingi Sandali, Temeke, wakionesha vipaji vyao mbele ya watumishi wanawake wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) waliowatembelea shuleni kwao Machi 5, 2026