Wakulima 472 wa kijiji cha Masakta kilichopo Halmshauri ya Wilaya ya Hanang mkoani Manayara wakifuatilia mafunzo ya matumizi sahihi ya mbolea ikiwa ni utekelezaji wa kampeni Mali Shambani yenye lengo la kutoa elimu ya matumizi sahihi ya pembejeo za kilimo tarehe 24 Februari, 2026.
Wakulima wa kijiji cha Nar kilichopo Halmshauri ya Babati mkoani Manyara wakifuatilia mafunzo ya matumizi sahihi ya mbolea ikiwa ni utekelezaji wa kampeni Mali Shambani yenye lengo la kutoa elimu ya matumizi sahihi ya pembejeo za kilimo tarehe 25 Desemba, 2026.
Mtafiti na Mkaguzi Ubora wa Mbegu kutoka Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI), Dkt. Neema Yohana, akiwaeleza wakulima wa Kijiji cha Nar kilichopo Halmsahauri ya Wilaya Babati mkoani Manyara jinsi ya kufanya zoezi la T-Hakiki ili kuhakiki ubora wa mbegu ikiwa ni muendelezo wa kampeni ya Mali Shambani kanda ya kaskazini tarehe 25 Februari 2026.
Wakulima wa kijiji cha Gusse kilichopo Halmshauri ya Wilaya ya Hanang wakifuatilia mafunzo ya matumizi sahihi ya pembejeo za Kilimo ikiwa ni utekelezaji wa kampeni Mali Shambani yenye lengo la kutoa elimu ya matumizi sahihi ya pembejeo za kilimo ikiwa ni muendelezo wa kampeni ya Mali Shambani kanda ya kaskazini tarehe 25 Februari, 2026
Wakulima wa kijiji cha Matui kilichopo Halmshauri ya Wilaya ya Kiteto wakifuatilia mafunzo ya matumizi sahihi ya pembejeo za kilimo ikiwa ni utekelezaji wa kampeni Mali Shambani yenye lengo la kutoa elimu ya matumizi sahihi ya pembejeo za kilimo tarehe 23 Februari, 2026.
Wananchi wa Kata ya Mombo, Kijiji cha Jitengeni, wakifuatilia mafunzo kuhusu matumizi sahihi ya pembejeo za kilimo yaliyofanyika tarehe 24 Februari, 2026, yakilenga kuwajengea uelewa wa kuongeza tija katika uzalishaji.
Afisa Udhibiti Ubora kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Peter Mwanguko, akitoa elimu kuhusu matumizi sahihi ya pembejeo kwa wakulima katika Kijiji cha Kwamsisi, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, tarehe 23 Februari, 2026.
Afisa Kilimo kutoka Wizara ya Kilimo, Alphonce Mwiru, akizungumza na wakulima wa Kijiji cha Kibedya, Wilaya ya Gairo mkoani Morogoro, tarehe 17 Februari, 2026, ambapo amesema Serikali inaendelea na zoezi la upimaji wa afya ya udongo nchi nzima ili kubaini mahitaji halisi ya virutubisho kwenye mashamba.
Afisa Udhibiti Ubora kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), John Wambura, akizungumza na wakulima katika Kijiji cha Rubeho, Wilaya ya Gairo mkoani Morogoro, tarehe 17 Februari, 2026, ambapo alisisitiza kuwa mafanikio ya matumizi ya pembejeo yanategemea upimaji wa afya ya udongo na kuwahimiza wakulima kupima mashamba yao kabla ya kutumia mbolea.