Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Prof. Peter L. Msoffe, akizungumza na Menejimenti ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji, Joel Laurent, wakati wa kikao kilichofanyika, Aprili 20, 2026, katika ofisi za Mamlaka zilizopo Temeke, Jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Prof. Peter L. Msofe akifuatilia wasilisho kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa TFRA, Joel Laurent, alipofanya kikao na Menejimenti ya Mamlaka tarehe 20 Aprili, 2026, katika ofisi za Mamlaka jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Prof. Peter L. Msofe akiwa katika kikao na Menejimenti ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) alipofanya ziara katika ofisi hiyo tarehe 20 Aprili, 2026.