Mfanyakazi Bora wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Elizabeth Bole, Meneja wa Ununuzi wa Mbolea kwa Pamoja, akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa mamlaka hiyo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yaliyofanyika kitaifa mkoani Njombe, Mei 1, 2026.
Watumishi wa Wizara ya Kilimo wakifuatilia kwa makini uwasilishaji wa Bajeti ya Kilimo kwa mwaka wa fedha 2026/2027
Kutoka kushoto: Bw. Joel Laurent, Mkurugenzi Mtendaji; katikati: Bw. Eliurd Leonard Mwaiteleke, Meneja wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini; na mwisho ni mfanyakazi wa Wizara ya Kilimo, wakifuatilia kwa makini uwasilishaji wa Bajeti ya Kilimo kwa mwaka wa fedha 2026/2027.
Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) akiwasilisha Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka wa fedha 2026/2027 Bungeni jijini Dodoma, Aprili 28,2026.