Watumishi wa Wizara ya Kilimo wakifuatilia kwa makini uwasilishaji wa Bajeti ya Kilimo kwa mwaka wa fedha 2026/2027
Kutoka kushoto: Bw. Joel Laurent, Mkurugenzi Mtendaji; katikati: Bw. Eliurd Leonard Mwaiteleke, Meneja wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini; na mwisho ni mfanyakazi wa Wizara ya Kilimo, wakifuatilia kwa makini uwasilishaji wa Bajeti ya Kilimo kwa mwaka wa fedha 2026/2027.
Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) akiwasilisha Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka wa fedha 2026/2027 Bungeni jijini Dodoma, Aprili 28,2026.