Ghala la mbolea litakalo hudumia mikoa ya kusini mwa Tanzania
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania, Joel Laurent wakati wa uzinduzi wa ghala la mbolea litakalo hudumia mikoa ya kusini mwa Tanzania tarehe 25 Mei, 2026.
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo(Mb) akizugumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania, Joel Laurent wakati wa uzinduzi wa ghala la mbolea litakalo hudumia mikoa ya kusini mwa Tanzania tarehe 25 Mei, 2026.