Watumishi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) wakimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo, Mhe. Zuberi Mfaume, wakati wa mazungumzo yaliyofanyika katika ziara ya Kamati kwenye Kiwanda cha Itracom tarehe 4 Agosti, 2026.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo, Mhe. Zuberi Mfaume
Picha ya pamoja ya Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo, Mhe. Zuberi Mfaume, wajumbe wa Kamati, viongozi wa Wizara ya Kilimo, Menejimenti ya Kiwanda cha Itracom na watumishi wa TFRA baada ya ziara ya kukagua shughuli za kiwanda.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo, Mhe. Zuberi Mfaume, akizungumza wakati wa kikao baina ya wajumbe wa kamati hiyo, Serikali ikiongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo, Prof. Peter Msofe na Menejimenti ya Kiwanda cha Itracom wakati wa ziara iliyofanyika tarehe 4 Agosti, 2026.