Mkurugenzi Mkuu wa TFRA akizungumza na mtaalamu kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI).
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Joel Laurent akipata maelezo ya huduma mbalimbali zinazotolewa na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) alipotembelea banda hilo katika maonesho ya kimataifa ya biashara ( Saba saba) jijini Dar es salaam.
Kamishna wa Magereza C.P.A.J Kavirondo akisaini kitabu cha wageni katika banda la Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania katika wa maonyesho ya sabasaba 2026
Kamishna wa Magereza C.P.A.J Kavirondo akiwa katika banda la Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam ( Sabasaba 2026) tarehe 1 Julai 2026.
Wawekezaji kutoka China wakizungumza katika banda la Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam ( Sabasaba 2026) tarehe 3 Julai 2026.