Mwenyekiti na Katibu wa TUGHE wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania wakishiriki kwa pamoja maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani, pamoja na kumpongeza na kumtunuku Mfanyakazi Bora wa Mwaka 2026 Bi. Elizabeth Bolle.
Mfanyakazi Bora wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Elizabeth Bole, Meneja wa Ununuzi wa Mbolea kwa Pamoja, akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa mamlaka hiyo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yaliyofanyika kitaifa mkoani Njombe, Mei 1, 2026.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania Bw. Joel Laurent akiungana na watumishi wa mamlaka katika maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika mkoani Njombe
Mfanyakazi Bora wa Mwaka 2026, Bi. Elizabeth Bolle, akishiriki maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika mkoani Njombe