Washiriki wa Jukwaa la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Urusi (Tanzania–Russia Trade and Investment Forum)
Washiriki wa Jukwaa la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Urusi (Tanzania–Russia Trade and Investment Forum)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo akizungumza wakati wa Jukwaa la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Urusi (Tanzania–Russia Trade and Investment Forum) lililofanyika katika Ukumbi wa AICC Arusha, jijini Arusha tarehe 15 Mei 2026.
Washiriki wa Jukwaa la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Urusi (Tanzania–Russia Trade and Investment Forum) wakifuatilia mada mbalimbali zilizolenga kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kati ya nchi hizo, lililofanyika katika Ukumbi wa AICC, jijini Arusha tarehe 15 Mei 2026.