Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Kilimo

Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA)

TFRA Logo
Serikali inaendelea na zoezi la upimaji wa afya ya udongo nchi nzima ili kubaini mahitaji halisi ya virutubisho kwenye mashamba.
02 Mar, 2026
Serikali inaendelea na zoezi la upimaji wa afya ya udongo nchi nzima ili kubaini mahitaji halisi ya virutubisho kwenye mashamba.

Afisa Kilimo kutoka Wizara ya Kilimo, Alphonce Mwiru, akizungumza na wakulima wa Kijiji cha Kibedya, Wilaya ya Gairo mkoani Morogoro, tarehe 17 Februari, 2026, ambapo amesema Serikali inaendelea na zoezi la upimaji wa afya ya udongo nchi nzima ili kubaini mahitaji halisi ya virutubisho kwenye mashamba.