Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
A: Washiriki wanaokubalika ni pamoja na:
- Wakulima
- Wafanyabiashara wa mbolea
- Vyama vya ushirika
- Wafanyakazi wa maduka/maghala ya mbolea
- Watafiti na taasisi za elimu
A: Mafunzo haya yanahusu usimamizi na udhibiti wa mbolea katika mnyororo mzima wa thamani.
A: Leseni hudumu kwa miaka mitatu (3) kabla ya kuhuishwa.
A: Inachukua takribani wiki moja (1).
A: Hapana, kuomba leseni ni bure.
A: Nyaraka zinazohitajika ni pamoja na:
- Cheti cha Utambulisho wa Mlipa Kodi (TIN Certificate)
- Cheti cha usajili wa kampuni au jina la biashara
- Cheti cha taaluma ya kilimo au ushiriki kwenye mafunzo ya mbolea
A: Fuata hatua hizi:
1. Fungua https://fis.tfra.go.tz/
2. Jisajili ili upate fomu ya maombi
3. Jaza fomu kwa usahihi na ambatanisha nyaraka zinazohitajika
4. Tuma maombi kwa njia ya mtandao
A: Ili kupata leseni unatakiwa kuwa na:
- Cheti cha Utambulisho wa Mlipa Kodi (TIN Certificate)
- Cheti cha usajili wa kampuni au jina la biashara
- Nakala ya cheti cha taaluma ya kilimo au mafunzo ya mbolea
- Jisajili kupitia mfumo wa Fertilizer Information System (FIS): https://fis.tfr...
