Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Kilimo

Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA)

TFRA Logo
Q: Nifanye nini ili kupata leseni ya kuuza mbolea?

A: Ili kupata leseni unatakiwa kuwa na:

- Cheti cha Utambulisho wa Mlipa Kodi (TIN Certificate)

- Cheti cha usajili wa kampuni au jina la biashara

- Nakala ya cheti cha taaluma ya kilimo au mafunzo ya mbolea

- Jisajili kupitia mfumo wa Fertilizer Information System (FIS): https://fis.tfra.go.tz/