Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Kilimo

Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA)

TFRA Logo
Q: Gharama za kupima sampuli za mbolea ni zipi?
Kipimo Gharama (Tsh) Kiwango cha Nitrojeni (N-NO3, N-NH4) 110,000 Kiwango cha Foriforasi 110,000 Kiwango cha virutubisho (Na, K, Ca & Mg) 110,000 Kiwango cha mboji 110,000 Kiwango cha uchachu na chumvichumvi 550,000 Biofertilizer na Organic acids 180,000 Madini tembo 750,000