Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Kilimo

Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA)

TFRA Logo
Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
A: Majibu hutolewa ndani ya siku kumi (10) za kazi.
Kipimo Gharama (Tsh) Kiwango cha Nitrojeni (N-NO3, N-NH4) 110,000 Kiwango cha Foriforasi 110,000 Kiwango cha virutubisho (Na, K, Ca & Mg) 110,000 Kiwango cha mboji 110,000 Kiwango cha uchachu na chumvichumvi 550,000 Biofertilizer na Organic acids 180,000 Madini tembo 750,000
A: Wanaoweza kupeleka sampuli ni: - Waingizaji wa mbolea - Wafanyabiashara wa mbolea - Taasisi za utafiti na elimu - Wakulima na watu binafsi - Wazalishaji wa ndani - TFRA kwa ajili ya ufuatiliaji na udhibiti
A: Maabara ya Taifa ya Mbolea inapima viwango vya virutubisho vilivyomo kwenye sampuli za mbolea, visaidi vyake pamoja na afya ya udongo ili kuhakikisha ubora na ufanisi wake.
A: Ndiyo, yanatolewa bure na TFRA.
A: Washiriki wanaokubalika ni pamoja na: - Wakulima - Wafanyabiashara wa mbolea - Vyama vya ushirika - Wafanyakazi wa maduka/maghala ya mbolea - Watafiti na taasisi za elimu
A: Mafunzo haya yanahusu usimamizi na udhibiti wa mbolea katika mnyororo mzima wa thamani.
A: Leseni hudumu kwa miaka mitatu (3) kabla ya kuhuishwa.
A: Inachukua takribani wiki moja (1).
A: Hapana, kuomba leseni ni bure.